17 Mwishowe akamfunulia moyo wake+ wote na kumwambia: “Wembe+ haujapita kamwe juu ya kichwa changu, kwa kuwa mimi ni Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yangu.+ Nikinyolewa, hakika nguvu zangu zitanitoka, nami hakika nitakuwa dhaifu na kuwa kama wanadamu wengine wote.”+