Waroma 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+ Waebrania 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Pia, mtu huchukua heshima hii, si kwa kupenda kwake mwenyewe,+ bali tu Mungu anapomwita,+ kama Haruni+ pia alivyoitwa.
28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+
4 Pia, mtu huchukua heshima hii, si kwa kupenda kwake mwenyewe,+ bali tu Mungu anapomwita,+ kama Haruni+ pia alivyoitwa.