Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 kwa maana walipokuwa bado hawajazaliwa wala kufanya jambo lolote jema au baya,+ ili kusudi la Mungu kuhusu kuchagua liendelee kutegemea, si matendo, bali Yeye ambaye huita,+

  • Waefeso 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 katika muungano pamoja na yeye ambaye tulihesabiwa pia kuwa warithi,+ kwa kuwa tuliagizwa kimbele kulingana na kusudi lake yeye anayetenda mambo yote kulingana na jinsi mapenzi yake yanavyoshauri,+

  • 2 Timotheo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yeye alituokoa+ na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo+ yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa. Tulipewa hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za zamani za kale,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki