17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
6 yaani, kwamba watu wa mataifa wawe warithi wa pamoja na viungo vyenzi vya mwili+ na washiriki pamoja nasi wa ahadi+ katika muungano na Kristo Yesu kupitia habari njema.
7 Enyi waume, endeleeni kukaa nao vivyo hivyo+ kulingana na ujuzi,+ mkiwapa heshima+ kama chombo dhaifu zaidi, yaani, mwanamke, kwa kuwa ninyi pia ni warithi+ pamoja nao wa pendeleo lisilostahiliwa la uzima, kusudi sala zenu zisizuiwe.+