Luka 24:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na, tazameni! ninatuma juu yenu kile ambacho kimeahidiwa na Baba yangu. Ingawa hivyo, ninyi kaeni katika jiji mpaka mvikwe nguvu kutoka juu.”+ Matendo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+ Wagalatia 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kusudi lilikuwa kwamba baraka ya Abrahamu ije kupitia Yesu Kristo kwa ajili ya mataifa,+ ili tuipokee roho iliyoahidiwa+ kupitia imani yetu.+
49 Na, tazameni! ninatuma juu yenu kile ambacho kimeahidiwa na Baba yangu. Ingawa hivyo, ninyi kaeni katika jiji mpaka mvikwe nguvu kutoka juu.”+
8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+
14 Kusudi lilikuwa kwamba baraka ya Abrahamu ije kupitia Yesu Kristo kwa ajili ya mataifa,+ ili tuipokee roho iliyoahidiwa+ kupitia imani yetu.+