9 Mataifa yote na yakusanywe mahali pamoja, na vikundi vya mataifa vikusanywe pamoja.+ Ni nani kati yao anayeweza kutangaza haya?+ Au, je, wanaweza kutufanya tusikie mambo ya kwanza?+ Na watoe mashahidi wao,+ ili watangazwe kuwa waadilifu, au wasikie na kusema, ‘Ni kweli!’”+