Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Zaburi 110:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:

      “Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Mikaeli+ atasimama wakati huo, yule mkuu+ anayesimama+ kwa ajili ya wana wa watu wako.+ Na kutakuwa na wakati wa taabu ambayo haijapata kutokea tangu kuwapo kwa taifa lolote mpaka wakati huo.+ Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mmoja anayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki