7 Na ni nani aliye kama mimi?+ Na aite, ili alitangaze na kulileta kwangu.+ Tangu wakati nilipowachagua watu wa zamani za kale,+ mambo yanayokuja na vilevile mambo yatakayoingia na wayatangaze.
10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+