Isaya 40:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mnaweza kumfananisha Mungu na nani,+ nanyi mnaweza kuweka kando yake mfano gani?+ Isaya 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumbukeni mambo ya kwanza ya zamani za kale,+ kwamba mimi ni Mungu+ wala hakuna Mungu mwingine,+ wala yeyote kama mimi;+
9 Kumbukeni mambo ya kwanza ya zamani za kale,+ kwamba mimi ni Mungu+ wala hakuna Mungu mwingine,+ wala yeyote kama mimi;+