9 Mataifa yote na yakusanyike mahali pamoja,
Na watu wakusanyike pamoja.+
Ni nani kati yao anayeweza kutangaza haya?
Au, je, wanaweza kutufanya tusikie mambo ya kwanza?+
Na watoe mashahidi wao ili kuthibitisha kwamba wanasema ukweli,
Au acha wasikie na kusema, ‘Ni ukweli!’”+