Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 41:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Leteni kesi yenu,” asema Yehova.

      “Toeni hoja zenu,” asema Mfalme wa Yakobo.

      22 “Leteni ushahidi na mtuambie mambo yatakayotendeka.

      Tuambieni kuhusu mambo ya zamani,*

      Ili tuyatafakari* na kujua matokeo yake

      Au mtutangazie mambo yanayokuja.+

  • Isaya 44:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ni nani aliye kama mimi?+

      Na aseme kwa sauti, atangaze, na kunithibitishia!+

      Tangu nilipowatokeza watu wa zamani za kale,

      Na waseme mambo yatakayokuja

      Na yale yatakayotokea.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki