Isaya 41:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Leteni kesi yenu,” asema Yehova. “Toeni hoja zenu,” asema Mfalme wa Yakobo. 22 “Leteni ushahidi na mtuambie mambo yatakayotendeka. Tuambieni kuhusu mambo ya zamani,*Ili tuyatafakari* na kujua matokeo yakeAu mtutangazie mambo yanayokuja.+ Isaya 44:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni nani aliye kama mimi?+ Na aseme kwa sauti, atangaze, na kunithibitishia!+ Tangu nilipowatokeza watu wa zamani za kale,Na waseme mambo yatakayokujaNa yale yatakayotokea.
21 “Leteni kesi yenu,” asema Yehova. “Toeni hoja zenu,” asema Mfalme wa Yakobo. 22 “Leteni ushahidi na mtuambie mambo yatakayotendeka. Tuambieni kuhusu mambo ya zamani,*Ili tuyatafakari* na kujua matokeo yakeAu mtutangazie mambo yanayokuja.+
7 Ni nani aliye kama mimi?+ Na aseme kwa sauti, atangaze, na kunithibitishia!+ Tangu nilipowatokeza watu wa zamani za kale,Na waseme mambo yatakayokujaNa yale yatakayotokea.