Kumbukumbu la Torati 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake. Kumbukumbu la Torati 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 33:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepanda juu ya mbingu ili kukusaidia+Na juu ya anga zenye kutanda mawingu katika adhama yake.+
15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.
5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+
26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepanda juu ya mbingu ili kukusaidia+Na juu ya anga zenye kutanda mawingu katika adhama yake.+