43Na sasa Yehova, Muumba+ wako, Ee Yakobo, na Mfanyizaji+ wako, Ee Israeli, amesema hivi: “Usiogope, kwa maana nimekukomboa.+ Nimekuita kwa jina lako.+ Wewe ni wangu.+
21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo,+ na wewe, Ee Israeli, kwa sababu wewe ni mtumishi wangu.+ Mimi nimekufanya.+ Wewe ni mtumishi wangu. Ee Israeli, mimi sitakusahau.+