Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 43:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Na sasa Yehova, Muumba+ wako, Ee Yakobo, na Mfanyizaji+ wako, Ee Israeli, amesema hivi: “Usiogope, kwa maana nimekukomboa.+ Nimekuita kwa jina lako.+ Wewe ni wangu.+

  • Isaya 43:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 watu ambao nimejifanyia, ili wasimulie sifa zangu.+

  • Isaya 44:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo,+ na wewe, Ee Israeli, kwa sababu wewe ni mtumishi wangu.+ Mimi nimekufanya.+ Wewe ni mtumishi wangu. Ee Israeli, mimi sitakusahau.+

  • Isaya 64:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki