2 Yehova, Mtengenezaji+ wako na Mfanyizaji+ wako, ambaye aliendelea kukusaidia tangu tumboni,+ amesema hivi, ‘Usiogope,+ Ee mtumishi wangu Yakobo, na wewe, Yeshuruni,+ ambaye nimekuchagua.
21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo,+ na wewe, Ee Israeli, kwa sababu wewe ni mtumishi wangu.+ Mimi nimekufanya.+ Wewe ni mtumishi wangu. Ee Israeli, mimi sitakusahau.+