Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakuna simba atakayekuwa hapo, na wanyama-mwitu wenye kunyafua hawatakuja juu yake.+ Hakuna yeyote atakayepatikana hapo;+ na waliokombolewa watatembea hapo.+

  • Isaya 44:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Pigeni vigelegele kwa shangwe, ninyi mbingu,+ kwa maana Yehova amechukua hatua!+ Pigeni kelele za ushindi,+ ninyi sehemu za chini kabisa za dunia!+ Changamkeni, ninyi milima,+ kwa vigelegele vya shangwe, Ee msitu nanyi miti yote mlio ndani yake! Kwa maana Yehova amemkomboa Yakobo, naye anaonyesha uzuri wake juu ya Israeli.”+

  • Yeremia 50:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki