Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wote waliookolewa wa Yehova na waseme hivyo,+

      Ambao amewaokoa kutoka katika mkono wa adui,+

  • Isaya 62:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hakika watu watawaita wao kuwa watu watakatifu,+ wale waliokombolewa na Yehova;+ na wewe mwenyewe utaitwa Aliyetafutwa, Jiji Ambalo Halikuachwa Kabisa.+

  • Wagalatia 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+

  • Tito 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 aliyejitoa mwenyewe+ kwa ajili yetu ili atukomboe+ sisi kutoka katika kila namna ya uasi-sheria na kujisafishia+ mwenyewe watu walio wake kwa njia ya pekee,+ walio na bidii kwa ajili ya kazi njema.+

  • 1 Petro 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana mnajua kuwa si kwa vitu vyenye kuharibika,+ kwa fedha au dhahabu, kwamba mlikombolewa+ kutoka kwenye namna ya mwenendo wenu usiozaa matunda ambao ulipokewa kwa njia ya mapokeo kutoka kwa mababu zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki