Kumbukumbu la Torati 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nawe ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri na Yehova Mungu wako alikukomboa.+ Ndiyo sababu ninakuamuru jambo hili leo. Zaburi 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naikabidhi roho yangu mkononi mwako.+Umenikomboa,+ Ee Yehova Mungu wa ukweli.+ Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+ 1 Petro 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+
15 Nawe ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri na Yehova Mungu wako alikukomboa.+ Ndiyo sababu ninakuamuru jambo hili leo.
68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+
19 Bali ilikuwa kwa damu yenye thamani,+ kama ile ya mwana-kondoo asiye na dosari na asiye na doa,+ ile ya Kristo.+