Kutoka 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mimi ni Yehova Mungu wako,+ ambaye nimekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya watumwa.+ Kumbukumbu la Torati 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nawe ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri+ na Yehova Mungu wako akakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa.+ Ndiyo sababu Yehova Mungu wako alikuamuru uendelee kuishika siku ya sabato.+ Mathayo 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’
15 Nawe ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri+ na Yehova Mungu wako akakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa.+ Ndiyo sababu Yehova Mungu wako alikuamuru uendelee kuishika siku ya sabato.+
33 Haikukupasa wewe, nawe, kuwa na rehema+ juu ya mtumwa mwenzako, kama mimi pia nilivyokuwa na rehema+ juu yako?’