Zaburi 81:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ni Mungu wako,+Yule anayekutoa katika nchi ya Misri.+Fungua wazi kinywa chako, nami nitakijaza.+ Hosea 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri,+ wala hukuwa unamjua Mungu mwingine yeyote ila mimi; wala hapakuwa na mwokozi mwingine yeyote ila mimi.+ Waroma 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+
10 Mimi, Yehova, ni Mungu wako,+Yule anayekutoa katika nchi ya Misri.+Fungua wazi kinywa chako, nami nitakijaza.+
4 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri,+ wala hukuwa unamjua Mungu mwingine yeyote ila mimi; wala hapakuwa na mwokozi mwingine yeyote ila mimi.+
29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+