Kumbukumbu la Torati 32:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+ Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+ Ufunuo 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akaniambia: “Yamekuwa! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.+ Kwa yeyote aliye na kiu mimi nitampa maji bure kutoka kwenye chemchemi ya maji ya uzima.+
13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+
25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+
6 Naye akaniambia: “Yamekuwa! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.+ Kwa yeyote aliye na kiu mimi nitampa maji bure kutoka kwenye chemchemi ya maji ya uzima.+