Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”+ asema Yehova Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,+ Mweza-Yote.”+ Ufunuo 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mimi ndiye Alfa na Omega,+ wa kwanza na wa mwisho,+ mwanzo na mwisho.
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”+ asema Yehova Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,+ Mweza-Yote.”+