Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na hivi pia ndivyo alivyosema mfalme, ‘Abarikiwe+ Yehova, Mungu wa Israeli, ambaye leo ametoa mtu wa kuketi juu ya kiti changu cha ufalme, macho yangu yakiwa yanaona jambo hilo!’”+

  • Zaburi 41:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+

      Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+

      Amina na Amina.+

  • Zaburi 72:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+

      Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+

  • Zaburi 106:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli+

      kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo;+

      Na watu wote waseme Amina.+

      Msifuni Yah!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki