Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Daudi akambariki+ Yehova mbele ya macho ya kutaniko+ lote na Daudi akasema: “Na ubarikiwe,+ Ee Yehova, Mungu wa Israeli+ baba yetu, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.

  • Nehemia 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.

  • Zaburi 34:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nitambariki Yehova nyakati zote;+

      Daima sifa yake itakuwa katika kinywa changu.+

  • Zaburi 72:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+

      Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+

  • Danieli 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Na mwishoni mwa siku zile,+ mimi, Nebukadneza, niliinua macho yangu juu kuelekea mbinguni,+ ndipo uelewaji wangu ukaanza kurudi kwangu; nami nikambariki Aliye Juu Zaidi,+ nami nikamsifu na kumtukuza Yeye anayeishi mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa maana utawala wake ni utawala wa mpaka wakati usio na kipimo na ufalme wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

  • Waefeso 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Abarikiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo,+ kwa kuwa ametubariki+ kwa kila aina ya baraka ya kiroho katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki