Zaburi 121:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 121 Nitainua macho yangu milimani.+Msaada wangu utatoka wapi?+ Zaburi 123:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 123 Nimekuinulia wewemacho yangu,+Ewe unayekaa mbinguni.+ Zaburi 123:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+
2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+