Zaburi 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho yangu yanamwelekea Yehova daima,+Kwa maana yeye ndiye huitoa miguu yangu katika wavu.+ Zaburi 121:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 121 Nitainua macho yangu milimani.+Msaada wangu utatoka wapi?+ Zaburi 141:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata hivyo, macho yangu yanakuelekea wewe,+ Ee Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+Nimekukimbilia.+Usiimwage nafsi yangu.+ Luka 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+
8 Hata hivyo, macho yangu yanakuelekea wewe,+ Ee Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+Nimekukimbilia.+Usiimwage nafsi yangu.+
13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+