Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho yangu yanamwelekea Yehova daima,+

      Kwa maana yeye ndiye huitoa miguu yangu katika wavu.+

  • Zaburi 121:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 121 Nitainua macho yangu milimani.+

      Msaada wangu utatoka wapi?+

  • Zaburi 141:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hata hivyo, macho yangu yanakuelekea wewe,+ Ee Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+

      Nimekukimbilia.+

      Usiimwage nafsi yangu.+

  • Luka 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alikuwa akipiga-piga kifua chake,+ akisema, ‘Ee Mungu, unirehemu mimi mtenda-dhambi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki