Zaburi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+ Zaburi 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+ Zaburi 71:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+Nisiaibike kamwe.+
11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+
11 Nimemkimbilia Yehova.+Mnawezaje kuthubutu kuiambia nafsi yangu:“Kimbieni kwenye mlima wenu kama ndege!+