17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele.
18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+