Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Utanitoa katika wavu ambao wameuficha kwa ajili yangu,+

      Kwa maana wewe ni ngome yangu.+

  • Zaburi 91:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana yeye mwenyewe atakukomboa kutoka katika mtego wa mwindaji wa ndege,+

      Kutoka kwa tauni inayosababisha shida.+

  • Zaburi 124:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+

      Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+

      Mtego umevunjwa,+

      Na sisi tumeponyoka.+

  • 2 Timotheo 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 nao warudiwe na fahamu zao nzuri ili watoke katika mtego+ wa Ibilisi, kwa kuwa amewashika wakiwa hai+ kwa ajili ya mapenzi ya huyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki