Zaburi 31:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Utanitoa katika wavu ambao wameuficha kwa ajili yangu,+Kwa maana wewe ni ngome yangu.+ Zaburi 91:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana yeye mwenyewe atakukomboa kutoka katika mtego wa mwindaji wa ndege,+Kutoka kwa tauni inayosababisha shida.+ Zaburi 124:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+ 2 Timotheo 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 nao warudiwe na fahamu zao nzuri ili watoke katika mtego+ wa Ibilisi, kwa kuwa amewashika wakiwa hai+ kwa ajili ya mapenzi ya huyo.
3 Kwa maana yeye mwenyewe atakukomboa kutoka katika mtego wa mwindaji wa ndege,+Kutoka kwa tauni inayosababisha shida.+
7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+
26 nao warudiwe na fahamu zao nzuri ili watoke katika mtego+ wa Ibilisi, kwa kuwa amewashika wakiwa hai+ kwa ajili ya mapenzi ya huyo.