Zaburi 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho yangu yanamwelekea Yehova daima,+Kwa maana yeye ndiye huitoa miguu yangu katika wavu.+ Zaburi 91:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana yeye mwenyewe atakukomboa kutoka katika mtego wa mwindaji wa ndege,+Kutoka kwa tauni inayosababisha shida.+ Mathayo 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na usituingize katika jaribu,+ bali utukomboe kutokana na yule mwovu.’+
3 Kwa maana yeye mwenyewe atakukomboa kutoka katika mtego wa mwindaji wa ndege,+Kutoka kwa tauni inayosababisha shida.+