26 Mwishowe Sauli akaja upande huu wa mlima, na Daudi na watu wake wakawa upande mwingine wa mlima huo. Basi Daudi akafanya haraka kuondoka+ kwa sababu ya Sauli; wakati huo wote Sauli na watu wake walikuwa wakimzunguka Daudi na watu wake ili kuwakamata.+
22 Mara moja Daudi akaondoka na pia watu wote waliokuwa pamoja naye, nao wakaendelea kuvuka Yordani mpaka kulipopambazuka asubuhi,+ mpaka kulipokuwa hakuna hata mmoja ambaye hakuwa amevuka Yordani.