Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mara moja Mikali akamteremsha Daudi kupitia dirishani, ili aende, akimbie na kuponyoka.+

  • 2 Samweli 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mara moja Daudi akawaambia watumishi wake wote waliokuwa pamoja naye katika Yerusalemu: “Simameni, tukimbie;+ kwa maana hatutaponyoka kwa sababu ya Absalomu! Nendeni upesi, asije akaharakisha, akatufikia na kututendea mabaya na kulipiga jiji kwa makali ya upanga!”+

  • Zaburi 31:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mimi nilisema hivi niliposhikwa na wasiwasi:+

      “Hakika nitaangamizwa kutoka mbele za macho yako.”+

      Bila shaka umeisikia sauti ya kusihi kwangu nilipokulilia unisaidie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki