Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na watu wote wakaja kuhusika katika ugomvi katika makabila yote ya Israeli, wakisema: “Mfalme ndiye aliyetuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu,+ na yeye ndiye aliyetuokoa mkononi mwa Wafilisti; na sasa amekimbia kutoka katika nchi mbele ya Absalomu.+

  • Zaburi 3:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Muziki wa Daudi alipokuwa akikimbia kwa sababu ya Absalomu mwana wake.+

  • Methali 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yeye anayemtendea vibaya baba yake na ambaye humfukuza mama yake+ ni mwana anayetenda kwa aibu na bila heshima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki