Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Methali 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mwana mjinga ni huzuni kwa baba yake+ na ni uchungu kwa mama aliyemzaa.+

  • Methali 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+

  • Methali 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Msikilize baba yako aliyekuzaa,+ wala usimdharau mama yako kwa sababu tu amezeeka.+

  • Methali 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuna kizazi cha watu ambao humlaani hata baba yao wala hawambariki hata mama yao.+

  • Methali 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila.

  • Mika 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+

  • 2 Timotheo 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi,+ wasio na shukrani, wasio washikamanifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki