Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+

      Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+

  • Yeremia 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana hata ndugu zako mwenyewe na nyumba ya baba yako, hata wao wenyewe wamekutendea kwa hila.+ Hata wao wenyewe wameita nyuma yako kwa sauti kubwa. Usiwe na imani nao hata kidogo, eti kwa sababu wanakuambia mambo mema.+

  • Mathayo 10:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa kweli, adui za mtu watakuwa watu wa nyumbani kwake mwenyewe.

  • Yohana 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki