Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+ Mathayo 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akajibu, akasema: “Yule anayechovya mkono wake pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.+
9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+