Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+ Marko 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akawaambia: “Ni mmoja wa wale kumi na wawili, anayechovya pamoja nami katika bakuli moja.+ Luka 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Lakini, tazameni! mkono wa msaliti+ wangu upo pamoja nami mezani.+ Yohana 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa tonge ambalo ninachovya.”+ Na kwa hiyo, akiisha kuchovya tonge, akalichukua na kumpa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.
9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+
26 Kwa hiyo Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa tonge ambalo ninachovya.”+ Na kwa hiyo, akiisha kuchovya tonge, akalichukua na kumpa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.