Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu, anayekula+ pamoja nami, atanisaliti.”+

  • Yohana 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+

  • Yohana 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo Yesu akajibu: “Ni yule ambaye nitampa tonge ambalo ninachovya.”+ Na kwa hiyo, akiisha kuchovya tonge, akalichukua na kumpa Yuda, mwana wa Simoni Iskariote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki