2 Samweli 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu. Ayubu 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Watu wote wa kikundi cha rafiki zangu wananichukia,+Na wale ambao nimewapenda wamenigeuka.+ Zaburi 55:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ilikuwa ni wewe, mwanadamu anayeweza kufa tunayelingana,+Mtu tunayejuana na ambaye ni rafiki yangu,+
12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu.
13 Lakini ilikuwa ni wewe, mwanadamu anayeweza kufa tunayelingana,+Mtu tunayejuana na ambaye ni rafiki yangu,+