Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, watumishi+ wake wakasimama na kuungana katika hila,+ wakampiga na kumuua Yehoashi katika nyumba+ ya Kilima,+ katika njia inayoshuka kwenda Sila.

  • 2 Wafalme 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, mfalme wa Ashuru akatambua kuna hila+ ndani ya Hoshea, kwa vile alikuwa ametuma wajumbe kwa So mfalme wa Misri+ naye hakuleta ushuru kwa mfalme wa Ashuru kama katika miaka ya hapo mwanzoni. Basi mfalme wa Ashuru akamfungia ndani na kuendelea kumfunga kifungoni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na kutoka wakati Amazia alipogeuka akaacha kumfuata Yehova, wakapanga hila+ juu yake katika Yerusalemu. Mwishowe akakimbilia Lakishi;+ lakini wakatuma watu kumfuatilia huko Lakishi, wakamuua huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki