9 Na Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga kuzunguka pande zote kuanzia Kilima+ na kuelekea ndani.
24 Hata hivyo, binti ya Farao+ akatoka katika Jiji la Daudi+ akaenda kwenye nyumba yake mwenyewe, ambayo mfalme alikuwa amemjengea. Wakati huo ndipo Sulemani alipokijenga Kilima.+
5 Tena akajipa moyo na kujenga ukuta wote uliovunjika+ na kusimamisha minara+ juu yake, na upande wa nje ukuta mwingine,+ akarekebisha Kilima+ cha Jiji la Daudi, na kutengeneza silaha+ kwa wingi na ngao.+