Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga kuzunguka pande zote kuanzia Kilima+ na kuelekea ndani.

  • 1 Wafalme 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, binti ya Farao+ akatoka katika Jiji la Daudi+ akaenda kwenye nyumba yake mwenyewe, ambayo mfalme alikuwa amemjengea. Wakati huo ndipo Sulemani alipokijenga Kilima.+

  • 1 Wafalme 11:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na hii ndiyo sababu alinyoosha mkono wake juu ya mfalme: Sulemani alikuwa amekijenga Kilima.+ Alikuwa ameziba pengo la Jiji la Daudi baba yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tena akajipa moyo na kujenga ukuta wote uliovunjika+ na kusimamisha minara+ juu yake, na upande wa nje ukuta mwingine,+ akarekebisha Kilima+ cha Jiji la Daudi, na kutengeneza silaha+ kwa wingi na ngao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki