15 Sasa hii ndiyo hesabu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa+ ambao Mfalme Sulemani aliandikisha ili kujenga nyumba ya Yehova+ na nyumba yake mwenyewe na Kilima+ na ukuta+ wa Yerusalemu na Hasori+ na Megido+ na Gezeri.+
24 Hata hivyo, binti ya Farao+ akatoka katika Jiji la Daudi+ akaenda kwenye nyumba yake mwenyewe, ambayo mfalme alikuwa amemjengea. Wakati huo ndipo Sulemani alipokijenga Kilima.+