9 Na Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga kuzunguka pande zote kuanzia Kilima+ na kuelekea ndani.
20 Hata hivyo, watumishi+ wake wakasimama na kuungana katika hila,+ wakampiga na kumuua Yehoashi katika nyumba+ ya Kilima,+ katika njia inayoshuka kwenda Sila.