2 Wafalme 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na ikawa kwamba mara tu ufalme ulipokuwa umeimarishwa mkononi mwake, akaanza kuwapiga na kuwaua+ wale watumishi wake waliompiga na kumuua mfalme, baba yake.+
5 Na ikawa kwamba mara tu ufalme ulipokuwa umeimarishwa mkononi mwake, akaanza kuwapiga na kuwaua+ wale watumishi wake waliompiga na kumuua mfalme, baba yake.+