Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, watumishi+ wake wakasimama na kuungana katika hila,+ wakampiga na kumuua Yehoashi katika nyumba+ ya Kilima,+ katika njia inayoshuka kwenda Sila.

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nao walipoondoka kwake (kwa kuwa walimwacha akiwa na magonjwa mengi),+ watumishi wake mwenyewe wakapanga hila+ juu yake kwa sababu ya damu+ ya wana wa Yehoyada+ kuhani; wakamuua kitandani mwake, hata akafa.+ Kisha wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini hawakumzika katika makaburi ya wafalme.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na ikawa kwamba mara tu ufalme ulipokuwa umeimarishwa kwake, akawaua+ mara moja wale watumishi+ wake waliompiga na kumuua mfalme, baba yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki