20 Alianza kutawala akiwa na umri wa miaka 32, naye akatawala miaka 8 katika Yerusalemu. Mwishowe akaenda zake bila kutamaniwa.+ Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+
27 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika jiji, Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akaanza kutawala mahali pake.