Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 24:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nao walipoondoka kwake (kwa kuwa walimwacha akiwa na magonjwa mengi),+ watumishi wake mwenyewe wakapanga hila+ juu yake kwa sababu ya damu+ ya wana wa Yehoyada+ kuhani; wakamuua kitandani mwake, hata akafa.+ Kisha wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini hawakumzika katika makaburi ya wafalme.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika jiji, Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki