7 Wakati walipoingia katika ile nyumba, alikuwa amelala kitandani mwake katika chumba chake cha kulala cha ndani, ndipo wakampiga, wakamuua,+ kisha wakakikata kichwa+ chake na kukichukua, wakatembea barabarani mpaka Araba usiku kucha.
20 Hata hivyo, watumishi+ wake wakasimama na kuungana katika hila,+ wakampiga na kumuua Yehoashi katika nyumba+ ya Kilima,+ katika njia inayoshuka kwenda Sila.