6 Ndipo akawaandikia barua ya pili, na kusema: “Ikiwa ninyi ni wangu,+ nanyi mnaitii sauti yangu, chukueni vichwa vya hao wana+ wa bwana wenu, mje kwangu kesho wakati kama huu katika Yezreeli.”+
Basi wana wa mfalme, watu 70, walikuwa na wanaume mashuhuri wa jiji waliokuwa wakiwalea.