Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Ndipo Daudi akachukua kichwa+ cha yule Mfilisti, akakileta Yerusalemu, na silaha zake akaziweka katika hema lake.+

  • 1 Samweli 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wakakata kichwa+ chake na kuvua silaha zake na kutuma wajumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili kuzijulisha+ nyumba za sanamu+ zao pamoja na watu.

  • 2 Wafalme 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo akawaandikia barua ya pili, na kusema: “Ikiwa ninyi ni wangu,+ nanyi mnaitii sauti yangu, chukueni vichwa vya hao wana+ wa bwana wenu, mje kwangu kesho wakati kama huu katika Yezreeli.”+

      Basi wana wa mfalme, watu 70, walikuwa na wanaume mashuhuri wa jiji waliokuwa wakiwalea.

  • Marko 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 akakileta kichwa chake kwenye sahani, naye akampa yule mwanamwali, naye mwanamwali akampa mama yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki