Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Usiviinamie wala kufanywa uvitumikie,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ ninayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

  • Ayubu 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu mwenyewe ataweka akiba ya madhara ya mtu kwa ajili ya wana wa mtu huyo;+

      Atampa thawabu ili ajue hayo.+

  • Isaya 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Tayarisheni ubao wa kuwachinjia wanawe kwa sababu ya kosa la mababu zao,+ ili wasije wakasimama na kuimiliki dunia na kuyajaza majiji juu ya uso wa nchi yenye kuzaa.”+

  • Ufunuo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitawaua watoto wake kwa pigo lenye kufisha, hivi kwamba makutaniko yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza figo na mioyo, nami nitawapa ninyi mmoja-mmoja kulingana na matendo yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki