Zaburi 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+ Isaya 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa juu,+ lakini wao hawauoni.+ Wataona na kupata aibu+ kutokana na bidii kwa ajili ya watu wako. Ndiyo, moto+ kwa ajili ya adui zako utawateketeza wao.
6 Yeye atawanyeshea waovu mitego, moto na kiberiti+Na upepo wenye kuunguza, vikiwa fungu la kikombe chao.+
11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa juu,+ lakini wao hawauoni.+ Wataona na kupata aibu+ kutokana na bidii kwa ajili ya watu wako. Ndiyo, moto+ kwa ajili ya adui zako utawateketeza wao.